MCHANGANUO WA BIASHARA
TUMAINI POULTRY PRODUCTION
Kuku wa nyama 2000
KIROMO - BAGAMOYO ROAD
2022 – 2023
Umeandaliwa
na:
S.L.P
Dar
es salaa.
Simu:
0765553030
YALIYOMO
1.0 MUHTASARI TENDAJI............................................................................03
1.1 Dhamira Kuu.................................................................................................04
1.2 Maono............................................................................................................04
1.3 Malengo.........................................................................................................04
2.0 Maelezo ya Kampuni.....................................................................................05
3.0 MAOMBI YA MKOPO.................................................................................06
4.0 MAELEZO YA BIDHAA..............................................................................07
5.0 TATHMINI YA SOKO...................................................................................07
5.2 Sekta ya Kuku................................................................................................08
5.3 Mahitaji ya Soko............................................................................................08
6.0 MPANGO WA UENDESHAJI......................................................................08
7.0 UONGOZI......................................................................................................11
8.0 MPANGO WA FEDHA..................................................................................11
8.1 Makisio Muhimu............................................................................................12
8.2 Mahitaji..........................................................................................................12
8.3 Makisio ya Faida na Hasara...........................................................................14
HITIMISHO......................................................................................................14
MUHTASARI TENDAJI
Kampuni ya Tumaini
Poultry Production inalenga kuongeza uzalishaji wake wa kuku wa nyama kwa
kuomba mkopo wa benki shilingi milioni 5 utakaorejeshwa ndani ya mwaka mmoja
ikiwa na dira ya kuwa mzalishaji bora zaidi wa kuku kandokando ya barabara ya
Bagamoyo eneo lenye vivutio vingi vya utalii na hoteli za nyota 5
Mmiliki wake Bwana
Tumaini Masanja alianzisha kampuni hii miaka 2 iliyopita katika eneo la Kiromo
lililopo kandokando ya barabaraya
Bagamoyo akianza na vifaranga wa siku moja 1000 katika mzunguko wa siku 44.
Kutokana na ukuaji wa kasi wa soko letu lengwa tumeshuhudia ufinyu wa mtaji, hivyo
mkopo wa benki tunaouomba tutanunulia vifaranga wa nyongeza 1000, vyakula vya
kuku hao na vilishio 50.
Tunayalenga hasahasa
makundi makuu 3 ya wateja ambayo ni Mahoteli & Migahawa, Supermarketi na
Machinjio ya kuku. Mahitaji ya nyama ya kuku Tanzania sasa hivi yapo juu
kutokana na Serikali kuweka zuio la uingizaji mazao ya kuku kutoka nje ya nchi.
Uzalishaji utafanyika
kwa mzunguko na idadi ya mizunguko kwa mwaka ni 8 ukizingatia kipindi cha
uzakishaji cha siku 32 na siku 12 za usafi wa mabanda kabla mzunguko mpya
kuanza. Msimamizi mkuu wa mradi ni Bwana Tumaini akisaidiwa na wafanyakazi 2
watakaolipwa kila mmoja shilingi laki 1 kwa kila mzunguko mmoja
Jumla ya mahitaji yote
ni shilingi milioni12, mauzo ya mwaka shilingi milioni 104.4 na faida halisi shilingi
milioni 8.2. Hivyo mradi huu una faida na mkopo utaweza kurejeshwa bila
matatizo ndani ya mwaka mmoja.
Kwa
Ufupi

1.1
DHAMIRA KUU.
0 Response to "MCHANGANUO WA BIASHARA TUMAINI POULTRY PRODUCTION"
Post a Comment